Skip to content Skip to main navigation Skip to footer

Author: Benjamin Mwashumbe

BURIANI STELLA MACHOCHO WANGAMA

Bunge la Kaunti ya Taita Taveta limepokea kwa masikitiko makubwa habari za kufariki kwa Stella Machocho ambaye ni mkewe Mjumbe wa Wadi ya Wusi-Kishamba, Mhe. Dancun Wangama.

Kifo cha Stella ni pigo kubwa kwa mumewe, jamii yake na wote waliomfahamu na kumpenda.

Kwa niaba ya Bunge letu la Kaunti, ninatuma rambirambi zetu za dhati kwa Mhe. Wangama na wapendwa wake wote.
Tungependa kukuhakishia kuwa tutakushika mkono na kusimama nawe wakati huu mgumu wa majonzi.

Tunamwomba Mwenyezi Mungu ailaze pahali pema peponi roho ya Stellah, na kuwapa nguvu na faraja wote aliowaacha.

Mhe. Anselm Mwadime Chao
Kaimu Spika wa Bunge la Kaunti

HERI NJEMA ZA MWAKA MPYA, KUTOKA KWA BUNGE LA GATUZI LA TAITA TAVETA

As we usher in the the year 2025, I, on behalf of all MCAs and staff of the County Assembly of Taita Taveta, extend my heartfelt wishes for a prosperous and fulfilling 2025 to all the people of Taita Taveta County and beyond.

In 2025, we commit to enhance service delivery to the Mwananchi, in order to realize sustainable development across our county for better socio-economic outcomes.

May this new year bring abundant blessings, peace, and progress to everyone in every corner of our beloved county and Country at large.

Happy New Year!

HON. ANSELM MWADIME CHAO,
Ag. Speaker, County Assembly of Taita Taveta

Back to top